Sera ya Faragha (Privacy Policy)

Effective Date: February 11, 2026

Xpeed Logistics Tanzania ("sisi", "yetu") inatambua umuhimu wa faragha yako. Sera hii inaelezea jinsi tunavyokusanya na kutumia taarifa zako kupitia App yetu.

1. Taarifa za Mahali (Location Data)

MUHIMU: App ya Xpeed inakusanya taarifa za mahali (Location Data) ili kuwezesha upangaji wa oda na ufuatiliaji wa bidhaa.

Kwa Madereva (Riders), tunakusanya taarifa hizi hata wakati App imefungwa au haitumiki (Background Location) ili kukupa kazi zilizo karibu nawe na kumruhusu mteja kuona mzigo wake ulipo.

2. Matumizi ya Taarifa

Tunatumia taarifa zako kwa ajili ya: Kuunganisha Maduka na Mabodaboda walio karibu, Kutoa arifa za papo hapo (Notifications), na Kuhakikisha usalama wa malipo na mizigo.

3. Arifa (Notifications)

Tunatumia mifumo ya arifa kutoa sauti maalum (Alarms) kwa maduka na madereva pindi oda mpya inapopokelewa. Hii inahakikisha huduma ya haraka kwa mteja.

4. Ulinzi wa Data

Hatuuzi wala kutoa taarifa zako kwa watu wa nje. Taarifa zote zinalindwa kwa teknolojia ya kisasa ya usimbaji (encryption).

5. Mawasiliano

Email: support@xpeed.shop

Rudi Nyumbani